Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Lulu akumbushia enzi zake na marehemu Kanumba

Lulu akumbushia enzi zake na marehemu Kanumba

tangazo

Muigizaji wa kike aliyeanza kuigiza filamu za kitanzania (Bongo Movies) akiwa na umri mdogo na kukulia kwenye tasnia hiyo, Elizabeth Michael aka Lulu amewakumbusha fans wake yeye na Marehemu Kanumba enzi zao walipokuwa wanafanya kazi pamoja.
 
Lulu amepost Instagram picha iliyochukuliwa kwenye filamu aliyoigiza na marehemu Steven Kanumba, iliyopata umaarufu sana ‘Family Tears’.
 
“TBT-Family Tears”, Lulu ameandika kwenye post hiyo.
Shabiki wake anaetumia jina la julianatz kwenye instagram aliandika kumtia moyo, kutokana na mengi yanayozungumzwa mtaani kuhusu yeye na Kanumba na kunyooshewa vidole.
“I have always had empathy for you @hotlulumichael always remember when people point one finger at you. Three fingers are left pointing back at them selfs keep on taking care of your mother and brother and close your ears to the negativity."
 
Katika hatua nyingine, Lulu amelalamika kupitia akaunti yake ya twitter:
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger