Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Trafiki anaswa akichapa usingizi mida ya kazi baada ya kuzidisha pombe

Trafiki anaswa akichapa usingizi mida ya kazi baada ya kuzidisha pombe

tangazo
 
Askari wa usalama barabarani ambaye  mpekuzi wetu hakufanikiwa  kumtambua  jina anadaiwa kuacha kuongoza magari na  kisha kunasawa baa akiwa amelala  baada  ya  kulewa  kupita  kiasi..
 
Tukio hilo lilijiri juzikati kwenye baa moja maarufu maeneo ya mataa ya sanawari jijini Arusha ambapo askari huyo alinaswa  akiwa  hoi ndani  ya  sare za jeshi la  polisi  baada ya kuzidisha  pombe, jamabo ambalo ni kinyume cha sheria na taratibu za jeshi la  polisi  nchini.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger